Thursday, November 7, 2013

SIR TINO ADAI ANAPENDEKA

Msanii Mpya katika Tasnia ya Bongo Fleva mwenye malengo makubwa ya kufanya poa katika Muziki huu wa Bongo Fleva amefunguka na kusema kuwa
Ngoma yake Mpya inayokwenda kwa jina la NAPENDEKA ana imani itafanya poa na kumtambulisha Vizuri kwa Watnzania.
Ngoma ya Sir Tino imefanyika katika Studio za Seductive Records chini ya Produza mkali Mr T Touch,hii ni ngoma ya pili ya Msanii Sir Tino kuiachia baada ya Kichupa chake kikali alichofanya na Mr Blue katika Ngoma yake iliyokwenda kwa jina la Jiride ambayo pia Mr T Touch aliiba baraka zake katika kuitengeneza.

Sikiliza Ngoma Mpya ya Sir Tino NAPENDEKA HAPA



0 comments:

Post a Comment