Thursday, November 14, 2013

MNAOJIFANYA HAMPENDI PICHA ZA NGONO WANAFIKI-EDO KUMWEMBE

Mwandishi wa Habari za Michezo na Mchambuzi wa Masuala ya Soka Nchini Edo Kumwembe amefunguka na kusema kuwa watu ambao hudai hawapendi kutizama
Picha za Ngono katika Mitandao mbalimbali kuwa ni wanafiki kwani wakiwa Peke yao wanazitizama vzurii tena kwa Matamanio makubwa.

Kumwembe amefunguka hayo katika Ukurasa wake wa Facebook na kuonesha wazi kuwa yeye si Mnafikii katika suala hilo.

Asilimia 90 ya watu usema hawapendi picha za ngono...tena wanadai 'usinitag picha chafu'....asilimia 89.5 kati yao huwa wanazipenda kimoyomoyo na kwa muda wao binafsi wanazitazama kwa matamanio makubwa.”

Maisha bila ya unafiki hayaendi...!!! asichotaka mtu ni kutazama akiwa na wenzake, au kujulikana kama anatazama. tehe tehe tehe

0 comments:

Post a Comment