Dilunga
anakua ni mchezaji wa pili kusajili katika kipindi hiki cha dirisha
dogo akimfuatia golikipa Juma Kaseja aliyesajiliwa mwishoni mwa wiki.
Thursday, November 14, 2013
BAADA YA JUMA KASEJA YANGA YAMSAJIRI HASSAN DILUNGA KWA MIAKA 3
8:02 PM
No comments
Klabu
ya Young Africans imekamilisha usajili wa kiungo Hassan Dilunga
kutoka timu ya Ruvu Shooting kwa mkataba wa miaka mitatu.







0 comments:
Post a Comment