Thursday, November 14, 2013

LADYJAYDEE ATOA LAANA KWA MWIZI ALIYEMWIBIA PESA ZAKE

Msaniii Bora wa Kike aliyejizolea umaarufu mkubwa Tanzania kwa Style yake Mpya ya Annaconda na kufanikiwa kupata mafanikio Makubwa kutokana na
Uwezo wake wa kupiga kazi na kutoa Hits Song zinazowabamba na kukonga Mioyo ya Wana Afrika Mashariki ameibiwa Pesa.
 
Msanii huyo ametiririka Katika Mtandao wake wa Twitter amesema kiasi alichoibiwa ni Laki Tatu na sitini ya kitanzania ambayo anadai inamuuma hata kama ni kidogo kwa kuwa ni yake na aliitafuta kwa jasho.

Nimeibiwa laki tatu na sitini, inaniuma sana. Hata kama ni kidogo lakini ni yangu aiseeeee!! 
 
Mwanadada aliyemvumbua Yahaya na kumleta katika Masikio ya watu wengi na Macho pia alitoa laana kwa Mwizi aliyepiga tukio hilo kwa maneno hayaaa

Alaaniwe huyo mwizi na impalie asiifaidi'

0 comments:

Post a Comment