Thursday, November 14, 2013

BOB JUNIOR KUMRUDISHA CHID BENZINO

Produza ambaye kwa sasa anatamba na ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la Bashasha aliyempa Shavu Vanessa Mdee katika Ngoma hilo Bob Junior kwa
sasa anafanya kazi na King wa Ilala Chid Benzi Chuma na mkali wa Mianguko katika Studio za Sharobaro Records.
 
Kwa Mujibu wa Chid Benz amedai kuwa Mwaka huu lazima kieleweke na kama hujawai kuona Tembo akichinjwa kwa Wembe basi usibili Hii Suprise Kubwa inayowakutanisha wakali hawa ambao wanatofautiana na aina ya KAZI wazifanyazo.

Niko Studio nafanya upishi wa kukaangiza na kuchoma.kuku moshi, vuta kiti” aliongeza kwa kusema kusema kuwa 
 
Mwaka huu anachinjika Tembo kwa kiwembe.bob jr sharobeenggzzz...funny.”

Hiii kwangu ni Suprise maana nishazoea kusikia Mikono ya Bob Junior Ikifanya kazi zaidi za Kuimba kuliko hata zile Ngumu Nyeusi wakati Mkali wa Ilala pia ni mzee wa Ngumu Nyeusi so Tegemea Utofauti Mkubwa wa Watu hawa katika kazi hii itakayofuata.



0 comments:

Post a Comment