Wednesday, November 13, 2013

IKIWA LEO NI SIKU ZA KUZALIWA KWA STAMINA HIKI NDICHO ALICHOANDIKA KWA SIKU YAKE HII.

Mkali wa Hip Hop ambaye kwa sasa anafanya poa na ngoma yake Mwambie Wenzio aliofanya na Darasa na Warda STAMINA leo anatimiza miaka kadhaa toka
aliposhuka katika Dunia hii ambayo kwa namna moja au nyingine imempa Mafunzo mengi ambayo alianza kuyapata toka kwa wazazi wake na kumsaidia leo kujivunia kuitwa Stamina.



Happy Birthday to me ,shukrani kwa mwenyezi mungu kwa kunifikisha hadi leo ,Pia shukrani kwa Marehemu Mama Yangu kwa kunileta Duniani.Mwisho kwa Mashabiki ba wote Wanaoni support .MUNGU AWABARIKI”

Mpitanjia inakutakia Maisha Marefu na Ukomavu katika kila jambo utakalolifanya maana hiyo ni ishara ya Makuzi ya Binadamu.

0 comments:

Post a Comment