Kipa Namba moja wa Simba Juma Kaseja ambaye kwa msimu uliopita wa Ligi hakuweza kuichezea Simba kutokana na kumaliza mkataba nao na kutomsainisha tena.
Juma Kaseja wiki iliyopita alisaini mkataba wa miaka miwili na Klabu ya Yanga ambayo awali alishawahi kuichezea kwa Msimu mmoja kati ya Mwaka 2008/9.
Kwa
mujibu wa Pondamali alisema Kaseja ni mchezaji anayejituma na
anayefanya mazoezi kwa muda wa saa sita kwa siku hivyo watake
wasitake hakuna Kipa anayeweza kuwa kama Kaseja kwa sasa.
0 comments:
Post a Comment