12:12 AM
Dj
ambaye anafanya poa sana katika Radio na Tv Dj AD Mafuvu ambaye
anahusikika katika vipindi mbalimbali vya Radio na Tv katika Ting'a
Namba
moja kwa Vijana EATV amefunguka ya moyoni juu ya Shirika moja
la Serikali na kusema kuwa linakoelekea linataka kuwapeleka wananchi
litakavyo.
Mkali huyo ambaye
aliweza kuwapagawisha wananchi katika Show mbalimbali za Kili Music
Tour 2013 zilizofanyika katika Mikoa Mbalimbali leo amefunguka katika
Ukurasa wake wa Facebook kama hiviiii.
“
daaaaaaah! hawa
tamesco sasa wanakoelekea watatushika mpaka makalio, yaani gharama
hizi za umeme bado wanataka kupandisha eti kwa kuwa kuna sheria
inawalinda ambayo inawapa mwanya wa kupandisha tozo kila baada ya
miaka 3. huu si utoto sasa!”
Hivi
serikali yetu kwanini isiwape nafasi watu wakaleta mitambo ya ufuaji
umeme bila kutozwa ushuru wa kuingiza hiyo mitambo? hivi haiwezi
kusaidia kweli???
hawa
tamesco tangu miaka ya giza huko wapo tu wanazingua! watoe nafasi kwa
gharama za chini au bila ghalama kwa wananchi wenye uwezo wa kuleta
mitambo ya ufuaji umeme tuondokane na hii sijui tuite opareshi
vimbwanga vya tamesco!
shirika
liko lenyewe nchi nzima miaka nenda miaka rudi na linatoa huduma
muhimu na inayohitajika kwa wananchi, lakini cha ajabu mpaka leo
linashindwa kujiendesha sawa sawa na kutoa huduma yenye kukidhi
viwango na hitaji la wateja wake!!!??
sasa
mnafanya nini kwenye hizo nafasi mlizokaa??? mnazingua sana nyie
jamaa! tazama upande wa mawasiliano, watu wangapi hapo ulipo
wanatumia titisiemo kwenye huduma za simu zao za mikononi??? yaani
ingebaki hii titisiemo nahisi mpaka leo hizi huduma tunazopata
tungezipata miaka hamsini ijayo.
sio
kama nawadiss, ila mashirika mengi ambayo yanamkono wa serikali
mnazingua sana, mnajali maslahi yenu binafsi tu!!! mnatuzingua
sanaaaaaaaa, mnatuchosha na utendaji wenu m'bovuuuuuuuuu !!!
0 comments:
Post a Comment