Wednesday, September 18, 2013

PATA NAFASI YA KUJIONEA SEAT YA SIR ALEX FERGUSON'S KATIKA UWANJA WA OLD TRAFFORD.

Aliekuwa Kocha wa Manchester United Sir Alex Ferguson's katika uwanja wa Old Trafford ana seat ya kwakwe Special ambayo ina Namba 134 .Seat hiyo haiwezi kukaliwa na mtu mwingine yoyote yule zaidi yake yeye hata kama hatafika uwanjani na uwanja ukawa umejaa.


0 comments:

Post a Comment