Wednesday, September 18, 2013

KIKOSI CHA COASTAL UNION KITAKACHO KUTANA NA RHINO RANGERS UWANJA WA MKWAKWANI TANGA LEO 18.09.2013

Ligi kuu Bara leo inaendelea katika viwanja mbalimbali nchini Tanzania kwa kuzikutanisha Timu mbalimbali zinazoshiriki ligi kuu bara katika Viwanja Tofauti tofauti.
Timu ya Coastal Union ya Jijini Tanga leo inaingia katika Uwanja vya Nyumbani Mkwakwani kuikalibisha Rhino Rangers katika mtanange utakaoanza kutimua Vumbi muda wa Saa kumi kamili za jioni jijini Tanga.
Mashabiki mnaombwa kuhudhuria kwa wingi kuipa sapoti timu yetu.
1Shaban Kado
2 hamad
3Abdi banda
4Marcus
5Juma nyosso
6Jery santos
7Seleman selembe
8Haruna Boban
9Yayo Lutimba
10Masumbuko Keneth
11 Uhuru Suleysh

0 comments:

Post a Comment