Mwanadada
anaefanya poa kupitia Tasnia ya ya Filamu Nchini Bongo movies
amefunguka na kusema kuwa Mmiliki wa Magazeti Pendwa Erick..!
Shingongo
amekuwa akimchafua kwa kumuandika vibaya katika Magazeti yake kwa
sababu anakesi nae hivyo anataka kumfachua ili akate tamaa.
“Minimti
wenye matunda milele siogop kupigwa mawe...shigongo kamua kunichafua
coz nakes nae mahakaman...anadhan ntaiacha never yeye aponde
anavyoweza ila mwisho wasiku sheria iatafata mkondo wake....minayake
mengi nayajua ila ngoja ninyamaze nisimwagiwe tindikali “
Mkali
huyo wa Filamu Irene Uwoya ametoa kiapo kuwa ipo wakati atatoa siri
juu ya kwanini Shigongo amekuwa akimchafua kupitia vyombo vyake vya
Habari
“Ipo
siku ntaongea ukweli kuhusu shigongo na ushaid pia ntatoa...usilo
lijua nikama usiku wagiza ndomana atawadanganya wasio na akili na
wasio mjua....ntapgana nae mpaka tone la mwisho la damu yangu ntasema
kila kitu kwanin ananichukia...na ntaweka kila kitu waz....den wenye
akili watajua naongea nin...simuogop atakama atanichafua kiasi
gan...hizo kwangu ni matone yamvua bado mvua yenyewe...”
I
don care kwaatakae muamin but mwisho wa siku ukweli utaonekana na
atataman ardhi ipasuke......mim irene uwoya sijashawishiwa na mtu
wala kulazimishwa nahaaidi ya kwamba ntaongea kila kitu btwn me n
him....eeh mwenyez ? MUNGU nisaidie.
0 comments:
Post a Comment