Wakati
Kocha wa Yanga, Ernest Brandts akitegemea kumuanzisha kiungo wake
nyota Haruna Niyonzima 'Fabregas' kwenye mechi ya leo ya Ligi Kuu ya
Bara..!
dhidi ya Prisons, kocha wa Prisons Jumanne Chale amepania
kuwanyoa Mabingwa hao na kuondoka na pointi tatu kwenye mechi hiyo ya
kwanza kwenye uwanja wa nyumbani.
Brandts
amekili kuwa kukosekana kwa nyota ambae ni raia wa Rwanda Niyozima
kulichangia kutoka sare na Mbeya City lakini kwa kuwa amerejea
naamini mambo yatakwenda sawa.
“Kikubwa kwangu ni kurejea uwanjani kwa Haruna. Hakuwapo kwenye mchezo wa kwanza dhidi ya Mbeya City.. lakini leo atakuwapo. Lengo letu ni kushinda ili tuondoke na pointi nne huku japo najua kuna ugumu wake kwa sababu Prisons wamejiandaa vizuri,” Brandts.
“Kikubwa kwangu ni kurejea uwanjani kwa Haruna. Hakuwapo kwenye mchezo wa kwanza dhidi ya Mbeya City.. lakini leo atakuwapo. Lengo letu ni kushinda ili tuondoke na pointi nne huku japo najua kuna ugumu wake kwa sababu Prisons wamejiandaa vizuri,” Brandts.
0 comments:
Post a Comment