“Mioyo
yetu iko pamoja na watu wa Kenya katika tukio la mashumbulizi kwenye
eneo la West Gate. Ni tukio la kusikitisha na kukasirisha sana.”
Monday, September 23, 2013
HI NDIO KAURI YA RAISI JAKAYA KIKWETE KWA TUKIO LA WEST GATE KENYA.
2:24 AM
No comments
Rais
wa Tanzania Jakya Kikwete amefunguka na kusema kuwa tukio la utekaji
lililotokea katika eneo la West gate nchini Kenya linasikitisha na
kukasirisha sanaa.







0 comments:
Post a Comment