Monday, September 23, 2013

CPWAA KUACHIA NYIMBO MBILI KWA WAKATI MOJA.

Msanii wa Bongo fleva ambae ni mkali wa kudondosha Bongo crank Tz Cpwaa anatarajia kutambulisha nyimbo zake mbili siku ya Tarehe 1 mwezi wa Kumi.
Kwa Mujibu wake anadai kuwa anataraji kuachia nyimbo mbili ambazo zote zitakuwa na majina yanayoanzia na herufi “C”


0 comments:

Post a Comment