Monday, September 23, 2013

DIAMOND PLATNUM AWATOLEA UVIVU WANAODAI ANATUMIA UCHAWI KWA KUSEMA KILICHOMFANYA KUFIKA HAPO ALIPO SASA.

Mkali wa Bongo Fleva ambae kwa sasa anakimbiza na wimbo wake wa My Number One leo amefunguka katika Ukurasa wake wa Instagram kuwa>>>> Maombi,Ubunifu juhudi pamoja na Heshima ndio vitu vinavyoweza kumfanya mtu yoyote kuwa Namba One katika kitu akifanyacho au jambo alifanyalo.

Maombi,Ubunifu,Juhudi na Heshima ndio kitu pekee Kitacho kufanya siku zote uwe #NumberOne”


Lakini pia amewataka Watanzania kutodanganyika kuwa pengine kuna mtu anaweza kuwafanya kuwa juu zaidi ya MWENYEZI MUNGU.

Hayo yamekuja kutokana na ukweli kwamba watu wengi wamekuwa wakizungumza mambo mengi juu ya mafanikio ya mwanamuziki huyo na kuamua kuwaonesha njia yake iliyomfikisha hapo alipo.

Usidanganyike! hakuna atakaeweza Kukueka juu zaidi ya Mwenyez Mungu Pekee....! Thaks alot to my all Funs arround the World kwa Upendo wenu wa dhati Kwangu #WCB for Life Baby”

0 comments:

Post a Comment