Friday, September 20, 2013

WEMA SEPETU ANAANZA KURUSHA SHOW YAKE EAST AFRICA TV MWEZI UJAO

Show Kali ya Wema Sepetu ambayo itakuwa ikimulika Maisha ya Wema Sepetu na vitu avifanyavyo katika Maisha ya kila siku
itaanza kuruka Mwezi wa Kumi kupitia EAST AFRICA TV Tinga'a namba moja kwa vijana.

Kwa mujibu wa chanzo cha ndani cha EATV kimedai kuwa Msanii huyo nguli wa Filamu wameshafanya nae Makubaliano na Show yake itaanza kuruka Mwezi wa Kumi na Moja.


Hii lazima ieleweke hata iweje! Baada ya bandika bandua za kutosha, sasa tunakubandikia hii nyingine! Kutana na malkia namba moja anayetikisa hapa Bongo kwenye tasnia ya filamu, ulimbwende na biashara, Wema Abraham Sepetu kwenye reality show yake inayoitwa "In my Shoes" itakayoanza kudondoka hapa kwenye ting'a kali namba moko kwa vijana kuanzia mwezi ujao! Unasemaje?

Hujaelewa bado? Basi pole pole tu utaelewa, usiji-stress, Ama nini?”

0 comments:

Post a Comment