Wednesday, July 10, 2013

Z -ANTON APATA PIGO TENA

Msaniii Z-Anto alietamba miaka ya karibuni na kibao chake cha Binti kiziwi,Mpenzi Jini akiwa chini ya Uongozi wa Tip Top Connection kutoka maeneo ya Manzese amepata Pigo baada ya Kuondokewa
na Mama Yake Mzazi Leo.
 
Taarifa zilizopo ni kwamba msimba utakuwepo Kigamboni alipokuwa akiishi Mama yake Mzazi huyo.

Mungu akusaidie Z-Anto katika kipindi kigumu hiki na Ailaze pema peponi Roho ya Marehemu.Aminaaaa.

0 comments:

Post a Comment