Akifafanua
namna ambavyo walikuwa wamekubaliana kuongoza Halmashauri hiyo Mbunge
wa Kigoma Kasikazini amesema
“kuwaUongozi
wa Juu wa CHAMA Cha NCCR-M umepinga makubaliano ya kuongoza kwa
pamoja Halmashauri ya Wilaya Uvinza Kati ya CHADEMA na chama hicho.
Tulikubaliana CHADEMA irejeshe fomu za uenyekiti, NCCR-M umakamu.
CHADEMA imerejesha, NCCR-M imerejesha ya uenyekiti pia. Hivyo nafasi
ya makamu Mwenyekiti imebaki na mgombea wa CCM tu”






0 comments:
Post a Comment