Thursday, July 18, 2013

USITISHWE NA MPUUZI YOYOTE-NIKKI MBISHI


Mkali wa Free style Nikki Mbishi ambae ameachia ngoma yake mpya siku za karibuni inayoendelea kufanya poa katika Vituo mbalimbali vya Radio Bongo amefunguka na kusema kuwa Mshitishwe na Mpuuzi yoyote yule anaempiga vita kwa kuwapigia watu na kuwakataza kurequest ngoma hiyo kuchezwa katika vituo mbalimbali vya Radio.


Mkali huyo amefunguka hayo baada ya Wadau na wanaharakati wake kupigiwa simu na kukatazwa kuomba wimbo huo Radioni na baadhi ya Raia ambao hawana mapenzi na Nikki Mbishi



Asikutishe mpuuzi yeyote bwana,endeleza harakati askari,eti mtu anapigia watu simu na kuwaambia waache kurequest nyimbo za Nikki Mbishi redioni”
Nikki Mbishi amefunguka na kusema kuwa watu ambao wamepigiwa simu na kutakwa kuacha kuomba nyimbo za Nikki Mbishi wamekuwa na mapenzi mema na yeye hivyo wanampa taarifa kila wanapopigiwa simu.



waliopigiwa wamenipa taarifa,dunia familia sio kijiji tena”

0 comments:

Post a Comment