Thursday, July 18, 2013

BONDIA EVANDER HOLYFIELD ASEMA JAMBO JUU YA NELSON MANDELA.

Bondi wa Ngumi za kulipwa Ulimwenguni Evander Holyfield ameeungana na mamia ya watu ulimwenguni wanao mpongeza na kumuombea Raisi wa Kwanza Mwafrika wa South Africa Nelson Mandela kwa kutimiza miaka 95 siku ya leo.


Want to wish Nelson Mandela a happy birthday today. Be blessed in Jesus name”

Nelson Mandela bado amelazwa hospitali na inaripotiwa kuwa hali yake bado si nzuri sana ingawa bado yu hai,Mzee Madiba alilazwa kutokana na kusumbuliwa na Homa ya mapafu.

0 comments:

Post a Comment