Friday, July 12, 2013

STRESS ZIMENIFANYA NIINGIE STUDIO-HARD NAME

HARD NAME
Kijana anaefanya poa katika tasnia ya muziki wa Rap nchini Hard Name ambae alishatamba na ngoma kama Ng'ata ng'ata aliyompa shavu Tash kwa sasa amesema Stress za Maisha ndizo zilizomfanya kuingia studio na kufanya ngoma inayokwenda kwa jina la STRESS.


Hard Name amesema kuwa katika maisha kuna mambo mengi ambayo yanawachanganya watu,ikiwemo siasa,Maisha magumu na vitu vya namna hiyo.

Stress ya Hard name imefanya katika Studio ya Roccana na sasa imeshatambulishwa katika vituo mbalimbali vya Radio na kuanza kufanya poa.
HARD NAME

0 comments:

Post a Comment