“epukeni
propaganda mnaweza sana...naskiliza Ngoma zenu hapa kila baada ya
neno na sauti safi sana MAJANJA!!
Rama
Dee katoa kauri hiyo kutokana na ukweli kwamba soko la muziki wa
TANZANIA kwa sasa limeingiliwa na aina fulani ya Siasa,unyonyaji na
ukandamizwaji kwa wasanii kisaikolojia,kiuchumi,na hata katika uelewa
maana kuna kundi la watu ambao kazi yao ni kuhakikisga wananufaika
kupitia migongo ya wanamuziki na kuwapandikizia nidhamu ya woga
katika kazi zao,jambo ambalo humpelekea msanii kufa kisaniii mwenyewe
pindi akishindwa kutimiza matakwa ya kundi hilo.
0 comments:
Post a Comment