Msanii
huyo amefunguka baada ya kusumbuliwa sana kwa kupigiwa simu hata na
watu asiowafahamu na kumuuliza juu ya kukamatwa kwa Video Queen huyo
ambae aliutendea haki wimbo wa Masugange mpaka kupata jina la Agnes
Masugange.
“Siku
zote hupigi simu wala huna mazoea na mimi leo unanipigia na kuniuliza
kuhusu agnes hhahahaha fuck ua self”
0 comments:
Post a Comment