Kamati
Kuu inaamini kwamba Waziri Mkuu................
amepoteza sifa za kuendelea kuwa Waziri Mkuu na
inaungana na wananchi na taasisi ambazo zimedai Waziri Mkuu awajibike au
awajibishwe kutokana na kauli yake hiyo. Aidha, Kamati Kuu inawaelekeza Wabunge
wote wa CHADEMA washirikiane na Wabunge wengine wote wenye mapenzi mema na nchi
hii na ambao wanaamini katika utawala wa sheria waanzishe mchakato wa kumpigia
kura ya kutokuwa na Imani Waziri Mkuu kupitia Bunge;
Kamati
Kuu imewataka Jeshi la Polisi kama sehemu ya jamii ya watanzania kupuuza kauli
ya Waziri Mkuu katika utekelezaji wa kazi zao kwa kuwa kauli hiyo ni ya
uvunjifu wa Katiba na Sheria na inachochea uvunjifu wa amani.
0 comments:
Post a Comment