Msanii
wa Kike kutoka Bongo ambae anavipaji mbalimbali kama
utangazaji,Uimbaji anaefahamika kwa jina la Vanessa Mdee amefunguka
na kusema kuwa kama angepata nafasi ya.........
kudate na Mtoto wa Raisi
ingekuwa Rahaa.
Vanessa
alifunguka hayo katika kipindi cha Mkasi kinachorushwa na East Africa
Televison,alidai kuwa watu wanamzushia mambo mengi mpaka kusema kuwa anatoka na mtoto wa Presidar hivyo yeye akasema kama ingekuwa hivyo kwake ingekuwa raha sanaaaa.
Vanessa
alisema kuwa alikuwa hajiamini kufanya muziki ingawa muziki ndiyo
kitu alichokuwa akikipenda zaidi, hapo ndipo likaibuka swali
umewezaje kufanya muziki ikiwa hujiamini kufanya muziki.
katika kujibu
swali hili ndipo alipofunguka kuwa kama angepata nafasi ya kutoka au
kuwa na mahusiano na mtoto wa Raisi kwake ingekuwa rahaa sanaa.
Kipaji
cha muziki cha Vanessa Mdee kilianza kujulikana baada ya kusikika
kwenye wimbo wa AY ‘Money’ na baadae kuidhihirisha jamiii kwenye
‘Me and You’ alioshirikishwa na Ommy Dimpoz
Mwanzoni
mwa mwaka huu Vanessa alitoa single yake ya kwanza, ‘Closer’
ambao umemtambulisha vizuri kwa Watanzania walio wengi.






0 comments:
Post a Comment