Watani
wa jadi Simba na Yanga wanatarajiwa kushikana mashati tena Usiku wa
20 Oktoba katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam watapokutana
kwa mara ya kwanza katika mechi ya watani wa jadi msimu huu .
Kwa
Mujibu wa Ratiba mpya iliyotolewa jana na Shirikisho la Mpira wa
Miguu Tanzania (TFF) inaonesha watani hao watakutana tarehe 20
Oktoba.
Ikumbukwe
kuwa kwa mara ya mwisho watani hao wa jadi walipokutana katika ile
mechi ya kufunga msimu mwezi wa tano tarehe 26,Yanga ilimgalagaza 2-0
Simba,na kuchukuwa ubingwa huku Simba Sports Club ikikamata nafasi ya
Tatu baada ya Azam Fc waliochukuwa nafasi ya pili katika Ligi ya
Vodacom.







0 comments:
Post a Comment