kiungo
wa Klabu ya Simba Sports Club ya Jijini Dar es salaam na timu ya
Taifa ya Tanzania,Mwinyi kazi moto aliedaiwa kutoroka wakiwa katika
kambi ya Taifa Stars na kuelekea Uarabuni mwisho wa week iliyopita
baada ya klabu ya.....Lekhwiya inayoshiriki Ligi Kuu ya Qatar (Qatar
Stars League) kusema iko mbioni kumlipa mamilioni ya pesa ili ajiunge
nayo na pia kumuahidi mkataba utakamuingizia mshahara mnono wa kila
mwezi.
Taarifa
zilizopatika nizadaikuwa Kiungo huyo atalamba atalamba
dau la Sh. milioni 85 kama fedha za usajili ikiwa atapita majaribio
katika klabu hiyo yenye makao yake katika mji mkuu wa nchi hiyo,
Doha.
Mwinyi
kazi moto amesajiliwa na Club ya Simba akitokea JKT Ruvu.
0 comments:
Post a Comment