Wednesday, May 29, 2013

NIMEJIFUNZA NA KAMWE SITANYAMAZA TENA-DJ FATY



Mwanadada Faty aka Dj Fatty ambae ni Dj wa kike na mtangazaji wa Kituo cha Radio Moja hapa town ameonesha kuguswa sana na kifo cha msanii wa Hip Hop Albert Mangwea aliefariki kwa matumizi ya Madawa ya kulevya huko Nchini South Afrika katika Hospitali ya St Helen Joseph.

Dj fatty amesema anaumia sana hasa kila asikiapo Sauti ya Rapa huyo aliekuwa anafanya poa kunako Muziki wa Bongo fleva na amedai ni kama anamuona mbele yake,kama anaiona Sura yake na ameapa kujifunza na kamwe kutonyamaza tena

Inaniuma sana kila nikiskia sauti yake, is like namuona mbele yangu, his face, and all. I SWEAR nimejifunza na kamwe sitanyamaza tena”

Kifo cha Ngwea kinahusishwa na matumizi ya madawa ya kulevya kuwa alitumia madawa ya kulevya na yamempelekea kupoteza maisha.



0 comments:

Post a Comment