Mayor
wa Manispaa ya Ilala Mh Jerry Silaa ambae jana alikuwa
amezungumzia
juu ya kundi la Chamber Squard lilikuwa limeundwa na Albert
Mangwea,Noorah,Mez B pamoja na Dark Master.
Mh
Silaa amesema wimbo wa Albert Mangwear wa Mikasi ndio wimbo
uliomuhamasisha kufanya kazi na msanii Huyo mwaka 2004 wakati Jeery
Silaa alipokuwa Waziri wa Social katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam
“Mitungi,blantii,mikasii..wimbo
huu ulinifanya nifanye kazi na Ngwea 2004 nikiwa waziri wa social
UDSM. Lala kwa amani Ngwea.....”amesema Silaa.
Albert
Mangwear amefariki Dunia Jana Nchini South Afrika Johannesburg
katika Hospitali ya St Helen Joseph.Msiba
upo maeneo ya Mbezi Beach japo Taratibu za mazishi zinaweza kufanyika
Morogoro sehemu alipozikwa Baba yake.
0 comments:
Post a Comment