Msanii
wa Filamu Tanzania Kulwa Kikumba alimarrufu kama Dude amepata na pigo
baada ya kupata msiba wa Mama yake mzazi leo jijini Dar es salaam .
Mama
mzazi wa Msanii Dude amefariki asubuhi ya Leo majira ya Saa Kumi na
mbili,baada ya kupata taarifa juu ya kufariki kwa mama yake Dude
alitoa neno lake kwa wadau kwa kusema.
“Ndugu
zangu wapendwa nimefiwa na Mama mzazi niliempenda kuliko mtu yoyote
yule dunia hii”
Hii
ni picha ya Dude akiwa na Marehemu Mama yake asubuhi ya leo wakati
akimpeleka Hospitali
Mungu
akupe nguvu katika wakati mgumu huu kwako Dude.
Sisi
tulimpenda lakini mungu kampenda sanaa,apumzike kwa Amani.
0 comments:
Post a Comment