Mwanamuziki
chimbuko la BSS Kala Jeremiah anaetamba katika miondoko ya Hip Hop
hapa bongo kwa sasa na ngoma yake ya Dear God amepokea Tuzo ya kwanza
ya Wimbo Bora wa Hip Hop katika Tuzo zilizoandaliwa na kampuni ya
magazeti pendwa Tanzania.
Toka
kala ameanza muziki hakuwahi kubahatika kupata tuzo yoyote ile lakini
kwa mwaka huu kwake umeaanza vizuri kwa kupata tuzo hiyo wakati
katika Kili Music Award ameteuliwa katika categories kadhaa hivyo ni
mwazo mzuri kwake katika safari yake ya kuendelea kufanya poa katika
tasnia ya muziki Bongo.
“Toka
nianze muziki jana ndiyo nimechukua tuzo yangu ya kwanza, tuzo hizi
zimeandaliwa na global publishers.na ni tuzo ya wimbo bora wa hip
hop.nasema asante mungu kwa shavu jingine, asante sana mashabiki kwa
kura zenu, asante sana global publishers. na nawaomba mfanye hii kitu
miaka yote ili kuwe na tuzo nyingi nyingi”
Hakuishia
hapo Kala akatoa tena ombi jingine ambalo linakuja kwako na si mtu
mwingine,likiwa na lengo la kumpigia kura tena na sii jambo lingine
ili aweze kupata Tuzo nyingne kwa lengo la kupata heshima
nyinginee,huyu hapa kala na si mtu mwingnee
“ndugu
zangu nawakumbusha kuendelea kunipigia kura kwenye tuzo za
kilimanjaro music awards.asanteni sana kwa mara nyingine”
umestahili Kala, hongera sana. Wimbo wako wa "Dear God" ni mzuri sana
ReplyDelete