Monday, May 27, 2013

JOH MAKINI NA LORDIZE KUKINUKISHA WEEK HII



Wale wa kale wa Hip Hop Tz nawazungumzia Weusi kutoka pande za R chuga Joh Makini Mwamba wa Kaskazini akiwa na Lord izee alhamisi hii watafanya Show kali pande za Tegeta katika Club YA 71 kwa week hii Joh Ataonesha Wamba wake na kuwapa raha wote watakao ibuka pande za Tegeta kwa kutoa Support kwa weusi hao.

Joh makini na Lord izee ni wakali waliona ngoma kali Hits Hivyo usiku huo wa weusi utakuwa poa zaidi kwa kupata ngoma tamu zenye Swaga za Kileo cha kufanya tukutane pande zile kwa kuwapa Support Weusiiiiiiiiii.


0 comments:

Post a Comment