mkaguzi
mkuu wa hesabu za Serikali CAG leo amewakilisha Report bungeni Jijini
Dodoma na haya ni baadhi ya mambo yalikuwepo katika Report hiyo.
Kwa
mujibu wa mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kupita report yake
iliyowasilishwa leo bungeni amesema kuwa misamaha ya kodi imeongezeka
Kwa asilimia 78% kutoka mwaka 2011 mpaka 2012 kwa mwaka 2012 misamaha
ya kodi ilikuwa Tshs 1.8 Tirioni Sawa na asilimia 27% ya makusanyo
yote wakati Mwaka 2011 misamaha ilikuwa Tilioni 1,sawa na asilimia
18%.
CAG
amesema kuwa suala la ucheleweshaji wa Fedha za miradi ya maendeleo
zimepelekea Tshs 299 bilioni na $213milioni kutotumika Kabisa katika
mwaka wa 2012.
Malipo
tata ya TBC
Kwa niaba ya StarMedia
Tshs 618 Millioni vilevile maelfu ya vitabu yamekwama Bandarini Kwa
kukosa ushuru toka mwaka 2009 hivi ni vitabu vya watoto vilivyopaswa
kutumika ....
Wafanyakazi
wa serikali za Mitaa wanakopa mpaka wanabaki hawana kipato Kabisa.
Wafanyakazi 17,710 wamekutwa hawana salaries kwani wamekopa mpaka
hawapati mishahara yao.
Hata
hivyo Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG amesema kuwa serikali
imepata hasara ya Tshs 578bn Kwa kudhamini Madeni holela
0 comments:
Post a Comment