Wednesday, April 17, 2013

LULU ATIMIZA MIAKA 18 LEO



Mwigizaji wa Filamu Nchini Elizabeth Michael Alimaarufu kama Lulu anaekabiliwa na Kesi ya kuua bila kukusudia leo amefanya Sherehe ya Kutimiza Miaka Kumi na nane18 tangu kuzaliwa kwake.

Mwaka huu Lulu ameweka wazi Miaka yake ya kuzaliwa kutokana na utata uliokuwepo juu ya miaka halisi ya Muigizaji huyo kwani kwa mara ya kwanza alidanganya sana na kuficha umri wake ili tu aweze kupata ridhaa ya kuingia katika makumbi ya starehe na kufanya starehe zilizokuwa nje ya miaka halisi yake.

Lakini leo hii ameweka wazi kwa kuandika miaka yake halisi katika Keki iliyoandaliwa katika Sherehe hiyo.






0 comments:

Post a Comment