Na Gerald Kitalima
Acctress Jacquline Wolper kutoka katika kiwanda cha
filamu bongo
amewataka watanzania kupenda kazi za wasanii wa nyumbani
na
kuwapa support katika kazi zao wanazofanya ili kuwatia nguvu na
kuwapa moyo wa kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi kwa ajiri ya
watanzania,Wolper amesema hayo jana kupitia ukurasa wake wa
Instragram alipokuwa akionyesha jinsi gani ameguswa na kazi mpya ya
msanii Ambwene Yesaya (AY).
Wolper alisema kuwa katika maisha ya kila siku ni
vizuri raha na burudani kupata na watu waliokuzunguka maana hao ndio
msaada wako hata pale utapatwa na matatizo
"Jioni yangu ya leo(Jana) imekua nzuri sana
nimemaliza kazi,mapema mbio nyumbani kuburudika na nyimbo mpya ya
msanii ninayemkubali kaka Ay jamani tupende vya nyumbani na Raha pata
nawalokuzunguka mimi na familia tuko happy nazigo tumeliewa sema nini
nina kazi hii week nzima Radio itapasuka maana dada hata akiwa jikon
atakua na usemi wa zigo zigo hahaha big up my broo we love u Ay"
Mwanadada Jackline Wolper ameungana na msanii Ommy
Dimpoz kutibitisha kuwa Ay amefanya kazi nzuri na kali ambayo kwa
matazamo wao wanaamini kuwa itafanya vizuri katika vyombo mbalimbali
vya habari na hiki ndicho Ommy Dimpoz amefunguka
"Zigo jipyaa kotoka kwa Yesayaaaaa Ay hatariii
sana naona kaamua kuchukua hela zake sasa"
Ay jana ameachia wimbo mpya unaokwenda kwa jina la
Zigo ambao umefanywa na Produza Narheel na kufanyiwa Mixing katika
studio za Mj Records lakini pia mkali huyo jana ameachia Video ya
wimbo wake wa It's going down.
0 comments:
Post a Comment