Lulu
Michael Muigizaji wa kike alietingisha jiji la dar es salaam na
viunga vyake kwa skendos mbalimbali zikiwemo kudanganya jamii juu ya
umri wake,mahusiano yake na kushiriki katika kumbi za starehe akiwa
na umri usiotambulika katika viwanja hivyo,leo ameibuka na kusema
kuwa miaka yake ya kichina ime expire.
Kauli
hiyo ya mwigizaji LuLU imekuja kufuatia kutambua kua ameshadanganya
sana katika jamii juu ya umri wake halisi mpaka kupelekea utata juu
ya umri wake katika kesi inayomkabili ya kuua bila kukusudia,lakini
ameamua kuweka wazi juu ya umri wake halisi ili jamii itambue na
kuona kuwa mwanzo alikuwa akidanganya jamii.
Mpita
Njia najiuliza swali Miaka aliyoandika katika Keki iliyoandaliwa
kwenye party yake leo ni miaka yake halisi?kama yake halisi anasababu
ipi kuitaja huku akitambua mwanzo alikuwa akidanganya jamii?je ni
kutaka kuweka sawa kweli au anasababu nyingine?Napita tuu Mpita Njia
naendelea na safari yangu..........
0 comments:
Post a Comment