Saturday, March 23, 2013

WAFWASI WA PONDA KUKATA RUFAA


Wafausi zaidi ya hamsini wa sheikh Ponda Issa Ponda waliohukumiwa kifungo cha kwenda jera mwaka mmoja mmoja wamekusudia kukata rufaa kupinga hukumu hiyo iliyotolewa dhidi yao.

 Wakili  mohamed Tuibandela aliekuwa akiwatete wafuasi hao ameyasema hayo jana wakati akifanya mpango wa kupeleka taarifa za kukata rufaa dhidi ya wateja wake hao walio hukumiwa kifungo cha mwaka mmoja mmoja.

Wafuasi hao walihukumiwa kifungo hicho kufuatia kukiuka amri ya polisi iliyotolewa kupinga watu kuandamana.


0 comments:

Post a Comment