Saturday, March 23, 2013

ALICHOSEMA ZZITO --KABWE JUU YA TAIFA STARS LEO

ZZITO ZUBERI KABWE

TaifaStars ninyi ndio tumaini letu kubwa wakati huu nchi yetu imejaa changamoto nyingi na kukata tamaa.

Wakati Umoja wa Taifa upo mashakani, ninyi mnatufanya tuvae na kupeperusha Bendera yetu nzuri ya Taifa.

Dakika tisini uwanjani Tanzania inakuwa moja, ushindi hutupa fahari kubwa na kusahau vyama vyetu, Dini zetu, madaraja ya Maisha nk.

 Ingieni uwanjani Kwa ufahari mkubwa. Tupeni raha #TaifaStars #TZBrazil2014

0 comments:

Post a Comment