Raisi wa China XI
Jinping anaingia leo nchini Tanzania na hii ni ziara yake ya kwanza Barani
Africa tangu achaguliwe kuwa Raisi wa Jamhuri ya China.
Raisi huyo anategemea
kuhutubia Dunia akiwa Nchini Tanzania juu ya sera ya Serikali ya Jamhuri ya
China kuhusu Tanzania na Afrika kiujumla.







0 comments:
Post a Comment