Saturday, March 23, 2013

LOWASA ATOA DARASA


Aliekuwa waziri wa Tanzania Mh LOWASSA ametoa darasa kwa wanafunzi kuwa waangalie sana na matumizi ya computer na mitandao mbalimbali kwani ni vitu vilivyo na mchango mzuri kama vitatumiwa vizuri katika elimu zao lakini kama havita tumiwa vizuri vina athari kubwa sanaa katika kuharibu maadili na maendeleo ya mtoto.

Hivyo amewataka wanafunzi wote kuwa makini na matumizi ya computer na mitando ya kijamiii nchini,hii imefuatia kutopendezwa na matokeo ya wanafuzni mwaka huu,vilevile akilinganisha baadhi ya mambo ambayo kamati iliyoundwa kuchunguza sababu za wanafunzi wengi kuferi kwa mwaka huu kuwa matumizi ya mitandao na computer yamechangia katika baadhi ya maeneo hususani jumapili.



0 comments:

Post a Comment