JOHN MNYIKA |
Mbunge
wa ubungo mh john mnyika amesema tanzania hatuna haja ya kusherekea siku ya
maji bali ametaka au ametoa rai kwa serikali kuitumia siku hii kutatua matatizo
ya maji.
“unawezaje
kusherekea siku ya maji wakati una matatizo ya maji mimi naona siku hii
ingetumika kutatua matatizo tuliyonayo kuliko kusherekea jambo ambalo
linatusumbua”
vile
vile Mnyika amesema watendaji wa serikali hawana uwezo wa kutenda na kumtetea
Raisi kama walivyo dhaminiwa na kupewa nafasi za utendaji kutokana na kitendo cha baadhi ya viongozi
katika Wizara na Mamlaka za maji kushindwa
kujibu maswali waliyoulizwa na Raisi kutokana na ukosefu wa maji katika
jimbo la Ubungo ,Dar es salaam na Nchi
kiujumla.
Mnyika
aliendelea kusema kuwa baadhi ya viongozi katika Wizara na Mamlaka za maji
wamegeuza mradi kwa kuhujumu rasilimali hiyo kwa masirahi yao binafsii
0 comments:
Post a Comment