Friday, March 22, 2013

JAKAYA KIKWETE KUKUTANA NA MNYIKA JUMATATU.

JAKAYA KIKWETE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakutana na  Mbunge wa ubungo  Mh:John Mnyika Jumatatu hii ikulu pamoja na Viongozi wa mamlaka za maji kujadili tatizo la maji katika jimbo la ubungo na Dar es salaam kwa ujumla.

Maamuzi hayo yamefuatia kutokana na Raisi kutembelea jimbo la ubungo hivi karibuni na kujionea matatizo makubwa yanalolikabili jimbola ubungo na jiji la Dar es salaam kiujumla.
Jakaya alipowahoji  watendaji wa mamlaka hizo walikosa majibu juu ya maswali hayo.

hivyo Raisi alijionea picha  kuwa taarifa alizonazo kutoka katika mamlaka husika ni tofauti na uhalisia uliopo katika jimbo hilo.
hivyo alitoa agizo na kuomba wakutane siku ya jumatatu ikulu ili aweze kujuwa matatizo ya maji yaliyopo katik jiji la Dar es salaam.



0 comments:

Post a Comment