Friday, March 22, 2013

SAJNA SITAFANYA SHOW MUSOMA


 Msanii Sajna alietamba na kibao cha Iveta amesema kuwa hatafanya show yoyote ile musoma siku ya pasaka tarehe 31 March ambayo imeandaliwa na mapromota feki.

Nasema ni mapromota Feki kwa sababu sijakubalina nao kufanya show yoyote ile lakini wao wameshabandika matangazo kuonesha kuwa nitakuwepo katik a show hizo hivyo kwa kuwa wamefanya kinyume na utaratibu nawapa taarifa mashabiki wangu kuwa sitafanya show hiyo siku ya pasaka huko musoma .

0 comments:

Post a Comment