![]() |
| AUNT EZEKIEL |
Msanii
nguli wa filamu nchini Aunt Ezekiel aliepotea machoni mwa watu wengi tangu kuwa
mke wa mtu na kuanza kuishi kama mke wa mtu,jumapili hii ataibukia viwanja vya
Maisha club katika uzinduzi wa MAHAKAMA YA MAPENZI.
MAHAKAMA
YA MAPENZI ni album ya kwanza kutoka kw a msani LINEX linenga itakayo zinduliwa
usiku wa jumapili hii hivyo AUNT EZEKIEL atakuwa MC katika uzinduzi huo.







0 comments:
Post a Comment