Wednesday, March 20, 2013

LINEX KUZINDUA MAHAKAMA YA MAPENZI

LINEX

Msanii wa bongo fleva linex alietamba na nyimbo kama mama halima,aifola, na nyingine kibao siku ya jumapili ya mwezi huu hapa tarehe 24 atazindua album yake ya kwanza kabsa inayokwenda kwa jina la mahakama ya mapenzi.

Uzinduzi wa mahakama ya mapenzi utafanyika katika ukumbi wa maisha Club na jaji mkuu wa mahakama hiyo atasindikizwa na wasanii kama Banana Zahir Zoro,Peter Msechu,H-Baba pamoja na Stara Thomas .

Kama unakesi ya mapenzi nenda na mpenzio maisha club day hiyo ili ikatatuliwe kama si kumalizwa kabsaa.


0 comments:

Post a Comment