Wednesday, March 27, 2013

SHINDANO LA MISS TABATA KUFANYIKA JUMAPILI YA PASAKA

WACHEZAJI SHOW TWANGA PEPETA

Warembo ishirini na sita kutoka viunga mbalimbali vya Tabata watachuana na kugombea taji la Miss Tabata usiku wa Jumapili ya pasaka katika ukumbi wa Dar West park TABATA.

Washindi watano wa juu katika shindano hilo watashiriki Miss Ilala baadae,katika usiku huo Band ya Twanga Pepeta watafunga kwa kutoa burudani katika viwanja hivyo.

0 comments:

Post a Comment