Mamlaka
ya mapato Tanzania kushirikiana na jeshi la polisi imewataka madereva kubadili aina ya leseni
zao kote nchini kabla ya siku ya
jumapili 31 march .
Kwa
pamoja TRA na jeshi la polisi walianza mchakato wa kubadili leseni za madereva
na kwenda katika mfumo wa digital lengo kuu lilikuwa ni kuboresha na kupunguza
lesseni za kughushi zilizopo mitaani kwa madereva.






0 comments:
Post a Comment