Fainali
za Taifa za mashindano ya Miss Utalii Tanzania zitafanyika siku ya Jumamosi ya
30 March katika ukumbi utakaotangazwa baadae .
Shindano
hilo lilipaswa kufanyika Tarehe 17 March 2013 katika ukumbi wa Dar Live lakini
hayakufainkiwa kutokana na kukwama kiuwezo kwa waandaaji ya shughuli hiyo kwa
madai yao ni zaidi ya millioni mia moja imepungua katika kufanikisha zoezi
hilo.







0 comments:
Post a Comment