Thursday, March 28, 2013

MILLARD AYO ASHUKURU

AYO 

Mtangazaji wa Kituo cha Redio ya watu Clouds fm anaetangaza kipindi cha Amplifier Millard Ayo amefunguka katika ukurasa wake wa facebook na kuandika shukrani zake kwa watu waliotizama interview aliyofanya katika Kipindi cha MKASI kirushwacho na TINGA namba moja kwa vijana CHANNEL FIVE.

AYO katoa shukrani hizo baada ya kufikisha jumla ya watu 17,204 kati ya watu waliotizama interview hiyo iliyowekwa kwenye mtandao wiki mbili zilizopita  na kutizamwa mara hizo na wale Fans wake ambae yeye huwaita watu wake wa nguvu.



0 comments:

Post a Comment