Thursday, March 28, 2013

NILIKUJA DAR SINA GHETTO IZZO BUSSINESS


Msanii wa Hip Hop alietamba na hits kibao katika tasnia ya muziki wa hip hop nchini kutokea green city mbeya Izzo Bussiness amefunguka kwa kuwatia nguvu na kuwapa moyo vijana wanakwensda kutafuta maisha na kuwa wasiogope changamoto katika utafutaji.

Bussiness amesema hayo kuwa yeye mwenyewe alikuja Dar na hakuwa na sehemu ya kukaa yaani sehemu aliweza kuwa huru nayo kama kwakwe lakini baada ya kupigana na changamoto alizokuwa akikabiliana nazo hatimae alipata kwake na kuendelea ma maisha ya hapa mjini na muziki wake huku ukikuwa sik7u hadi siku kutokana na uwezo wake kisanii.

Hayo amenena bussiness kuwa ndio yaliyokuwa yakimkabili lakini kwa sasa mambo yanakwenda poa lakini kutokana na hali hiyo ilibidi andike mistari itakayo wahasa na kuwatia nguvu watu wengine,

0 comments:

Post a Comment